Watch full video on YouTube
-
Chama hajijui kua yuko mtegoni kama wanamsamini angepea mwaka 1
-
Huwez mfanananisha mutale na mwamba Lusaka chama,chama ni jembe la kimataifa
-
Hatuangalii tumepoteza nini, tunaangalia kwa sasa tunakitu gani. Simba nguvu moja
-
hili kuzima story za chama tomemposti mutalee mapemaa ahaaaaaaaaaa simbaaaaa nguvu mojaa
-
Yanga bingwa
-
Hamna kitu apo
-
Anajua Mumgu ampe uzima
-
Sadio Kanoute is not a traitor but surrounded by frog's informers if possible convince him to stay
-
Uyu ni bonge la mchezaji shida inakuja utopolo ni watu wabaya sana awachelewi kuwatupia majini wachezaji wetu kama walivyo mfanya baleke
-
Jaman wana simba tutulie chama hakuzaliwa afie simba tushukuru kwa yale aliyotufanyia tuache lawama , ombi langu kwa viongoz wafanye usajili bora utakao futa maneno ya huyu mtoto ally kamwe ametusema vibaya kweli
-
Safi sana wanasimba tushikamane kusapoti timu yetu
-
Jamn kitu hpa
-
Huyo sasa ndiyo mchezaji,Chama mzito kama nanga,tutamsahau Chama haraka sana
-
Highlight ya kipumbavu kabisa sasa hii inaonesha nini
-
Viongozi kiweni makini na wavhezaji wetu wasje wakahalibiwa na watu wa uto
-
Saf xana cimb sport club
-
Kwa mbali ananikumbusha N'golo Kante.
-
Mmh
-
😂❤ furaha
-
Huyu anatakiwa awe nyuma ya jobe maana hawa wote wana mbio
-
Kwaizo skills labda ligi ya bongo imkatae
-
Kwaizo skills labda ligi ya bongo imkatae
-
Anacheza kitimu kuisaidia timu
-
aibu hii.
-
MAYELEEE TUNAMTAKAAA.
-
Muddo on fire
-
Dogo halembi mpira, bali mpira pass
-
Simba sihami mpka mlele🎉
-
Simba sihami mpka mlele🎉
-
Nguvu moyaa
-
Hii mashine.. Inapiga chenga inatoa pasi Inatembea siyo kusimamisha mpira kuanza kupiga chenga unapoteza move ya mashambulizi… Kama yule alienda pale mafulikoni fc
-
Karib
-
namuona ni mchezaji machachari, ana safari ndefu ya kuthibitisha ni mchezaji hatari,
-
Bechi la ufundi yaani wazee wa uchawi inabidi asije fanywa Kama kramo haki muwe wajajnja ataishia kupewa welcome tuu hamna maajabuu
-
Mungu amlinde ampe nguvu aipambanie simba kwa manufaa
-
Wakawaida sana labda atawasumbua Azam sio Yanga 😁🏃
-
Ako vizuri speed yake sio mbaya